Hii
akaunt sio akaunti halisi ya kala Jeremiah na hiki kinachoendelea
katika akaunt hiyo ni wizi tena utapeli mkubwa, Ikiwa kama ww ni
shabiki wa kala Jeremiah hiyo akaunt uta unlike maana imekaa
kuchonganisha na kugombanisha wasanii....
IRENE UWOYA NA JAGUAR WANASWA FARAGHA NCHINI KENYA
Latest news zinasema kuwa star wa filamu nchini Irene Uwoya amekutana faragha Nairobi, Kenya na star mwenzake wa muziki toka nchini humo Jaguar.
Chanzo kimoja kilicho karibu na Uwoya kikizungumza nasi ki…Read More
DIANA KIMARO, MANAIKI SANGA NDANI YA PENZI ZITO
Manaiki alibaki kuangua kicheko ambacho kilitoa jibu la moja kwa moja kuwa hajiwezi kwa Diana ambaye kadri siku zinavyozidi kwenda ndivyo anavyozidi kujiimarisha kwenye tasnia ya filamu Swahiliwood.
Pia kupitia mita…Read More
0 comments:
Post a Comment