Sunday, March 30, 2014

DUKA la kuuza Rasta za wakina Dada (Urembo) limevamiwa na watu waliosadikika kuwa majambazi, Ni muda mchache uliopita kutoka sasa tangu tukio hilo lijiri maeneo ya Kariakoo jijini Dar Es Salaam..
Kwa mujibu wa chanzo chetu cha habari ni kwamba majambazi waliojaribu kufanya jaribio hilo baadhi yao wameuwawa na baadhi, Idadi kamili endelea kufatilia hapa maana waandishi pamoja na wadau bado wapo katika eneo la tukio kufatilia kwa kina.

0 comments:

Post a Comment

Click here

Click here

Popular Posts