Baada ya aliyekuwa mpenzi
 wa Ray C, Lord Eyes kukamatwa kwa tuhuma za kuiba laptop na mpaka 
kuwekwa ndani kwa tuhuma hizi Ray C aamua kufunguka na kuonge ya moyoni 
kwa mpenzi wake huyo wa zamani, Tukio la wizi kwa Lord Eyez siyo mara ya
 kwanza kwani hapo awali aliawahi kukamatwa kwa tuhuma hizo hizo za wizi
 ila ilikuwa wizi wa PowerWindow za gari ya Ommy Dimpoz mpaka kufikia 
hatua ya kuwekwa ndani. Hiki hapo chini ndicho alichosema Ray C juu ya 
mpenzi wake huyo wa zamani
Subscribe to:
Post Comments (Atom)






 9:40 AM
9:40 AM




 
 
 
 
 

0 comments:
Post a Comment