 Ikiwa
 ni muda mfupi tangu kocha wa Arsenal Arsene Wenger kuthibitisha kiungo 
mshambuliaji wa timu hiyo Jack Wilshere kwamba atakuwa nje ya uwanja kwa
 wiki 8 baada ya kuvunjika mguu, mashabiki wa timu ya Tottenham 
wamemtengenezea kitu walichoita ‘zawadi’ Wilshare.
Ikiwa
 ni muda mfupi tangu kocha wa Arsenal Arsene Wenger kuthibitisha kiungo 
mshambuliaji wa timu hiyo Jack Wilshere kwamba atakuwa nje ya uwanja kwa
 wiki 8 baada ya kuvunjika mguu, mashabiki wa timu ya Tottenham 
wamemtengenezea kitu walichoita ‘zawadi’ Wilshare.
Wilshare ambaye amekuwa akiandamwa sana na majeraha tangu alipoanza 
kukichezea kikosi cha wakubwa cha Arsenal, amevunja mfupa mdogo wa mguu 
wake wa kulia.
Katika kuendeleza utani wa jadi mashabiki wa Tottenham 
wamemtengenezea Jack Wilshare kiti cha kukalia watu wasioweza kutembea 
kwa miguu (wheelchair).
Arsenal
 inacheza na Everton katika FA Cup leo, kisha wataenda kucheza na 
Bayern Munich katika champions league, na baada ya hapo watakutana na 
Tottenham katika EPL.  






 10:14 PM
10:14 PM



 
 
 
 
 

0 comments:
Post a Comment