Showing posts with label SOCIAL. Show all posts
Showing posts with label SOCIAL. Show all posts

Friday, July 11, 2014

Hii imeripotiwa kutoka katika mtandao mmoja huko Nigeria Kuwa Mwanaume huyu Shoga amejipatia Mtoto wa kiume  akiwa amezalishwa na mwanume mwenzake!!! soma maelezo haya chinni

This is the emotional moment as gayy dads gives birth and met their son for the first time..The couple’s emotional moment was captured by photographer Lindsay Foster who wrote

“I had the opportunity to photograph this amazing birth on June 27 for a surrogate and two expecting and anxious daddies. Hours were spent with them in the hospital room while the surrogate mom was laboring and I got to know them quite well.They are two compassionate people who felt all the emotions that every new parent feels. They asked all appropriate questions of the birthing mom and the midwife and educated themselves as best as they could for their son’s arrival. I am so proud of these two dads.”


Mzungu mmoja huko majuu aliamua kujibandika ngozi nyeusi ili aonekane kama mtu mweusi..kwa 
kuwa wadada wengi wanazimika na wanaume weusi kuliko weupe. Dah! hili kweli badaa!!!


Utandawazi  umeendelea  kuwaangamiza  kaka  zetu  wanaopenda  kuiga  mambo  ambayo hayana mashiko katika jamii yetu hasa ya kitanzania.... 

Katika  upaparazi  wetu, mtandao  huu  umefanikiwa video ya  shoga  huyu akiwa anapata kitu roho inapenda maeneo ya sinza jijini dar es salaam!!!
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Lindi, Renatha Mzinga
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Lindi, Renatha Mzinga.

MWILI wa mwanamke mwingine aliyetambulika kwa jina la Zuhura Mtenda mwenye umri wa miaka, 32 umeokotwa jana na kufanya idadi ya wanawake waliouawa mpaka sasa katika Wilaya ya Nachingwea mkoani Lindi kufikia nane.

Wanawake hao nane waliouawa kikatili mpaka sasa wana umri kati ya miaka 18-32.
Chanzo cha mauaji hayo kimedaiwa kuwa ni uhusiano wa kimapenzi.

Katika kuonyesha kuwa wamekerwa na vitendo hivyo, baadhi ya wananchi wilayani humo, walizingira Kituo Kikuu cha Polisi Nachingwea, kuanzia saa mbili asubuhi hadi saa nne wakitaka polisi kuwaruhusu kuwa waue watuhumiwa watatu wanaoshikiliwa kwa tuhuma za kuhusika na mauaji hayo ambapo polisi walitumia mabomu ya machozi kuwatawanya.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Lindi, Renatha Mzinga, amesema wananchi hao wenye hasira walikuwa wamezunguka kituo hicho cha polisi wakitaka kuwaua watuhumiwa watatu wanaoshukiwa kuwa ndio wahusika wa baadhi ya mauaji ya wanawake hao.
Stori: Makongoro Oging’ na Haruni Sanchawa

IMEBAINIKA kuwa miongoni mwa wale wanawake 20 waliodai kufanyishwa ngono na waganga wa kienyeji ‘sangoma’ ili kupata ujauzito  baada ya kukaa  muda  mrefu  bila watoto,  wamo wake wa vigogo Bongo, Uwazi limechimba.

Kamanda Kiondo akielezea kuhusu uhalifu wa Sangoma walionaswa kwa kufanya ngono na wake wa vigogo.

Uchunguzi uliofanywa na waandishi wetu kwa baadhi ya wanawake  hao umebaini kuwa,  waume wao wanafanya kazi  katika nyadhifa za  juu serikalini, wengine ni wastaafu  na kwamba waume hao  hawajui kinachoendelea.
Kwa mujibu wa mwanamke mmoja (jina lipo), katika sakata hilo kuna wake wa maprofesa, kanali mstaafu wa JWTZ na mmoja ambaye mume wake aliwahi kuwa kamanda wa polisi wa mkoa (RPC) ambaye kwa sasa naye ni mstaafu.
...Kamanda Kiondo akizidi kuonyesha vifaa vilivyokuwa vikitumiwa na waganga hao wa kienyeji.

Mwanamke huyo alizidi kudai kuwa, ndoa moja katika hizo ilivunjika baada ya mume kubaini kuwa, mkewe alikuwa na uhusiano wa kimapenzi na mmoja wa sangoma hao.
‘KUFULI’ ZILISHATUMIKA

Uchuguzi zaidi ulibaini kuwa zaidi ya nguo za ndani  ‘kufuli’ za  wanawake zaidi ya 20 zilizokutwa  na polisi  kwa sangoma hao maeneo ya Tandika jijini Dar es Salaam zilikuwa zimeshavaliwa hivyo hakukuwa na mpya jambo lilionesha kuwa, zilivuliwa wakati wa tukio linalodaiwa lilikuwa na kutengezea dawa.

Baadhi ya watuhumiwa wa sakata hilo.

KWA NINI WALITOA TAARIFA POLISI?

“Sisi tuliamua kutoa taarifa polisi kwa sababu tumekuwa tukifanya ngono na wale waganga kwa muda mrefu bila kupata ujauzito na mbaya zaidi tulishatumia mamilioni ya pesa  baada ya kuuza mali zetu, zikiwemo nyumba,” alisema mwanamke huyo nje ya kituo cha polisi.

Wanawake hao ambao hawakupenda majina yao  yatajwe kwa kuhofia waume zao kujua, walisema  ni  kweli baadhi yao wamekaa katika ndoa kati ya miaka nane hadi  10 bila kupata watoto wala mimba zilizoharibika.
Kamanda Kiondo akionesha baadhi ya nguo za ndani, 'kufuli' zilizokutwa kama ushahidi kwa baadhi ya wanawake waliofanyishwa ngono na sangoma hao.

Hata hivyo, baadhi yao walirudishiwa fedha zao baada ya Kamanda Kiondo kuwabana waganga hao.
KAULI YA RPC

Wiki iliyopita Jeshi la Polisi Mkoa wa Temeke chini ya Kamanda, SACP Englibert Kiondo liliwatia nguvuni sangoma wawili wakiwa na matunguli na zana nyingine za kuagulia binadamu.

Kamanda Kiondo akikusanya tunguli zilizotumiwa na waganga hao wahalifu tayari kwa kuzichoma moto mbele ya wahandishi wa habari.

Vitu hivyo viliteketezwa moto kwenye Kituo cha Polisi Temeke mbele ya  waandishi wa habari.

“Ninaamini kuwa kwa vitendo  hivyo  vya kujamiiana ni hatari na huu ni ubakaji, kwani kuna uwezekano wa kuambukizana maradhi  mbalimbali ikiwemo  Ukimwi, kwa hiyo hizi zana nazichoma moto,” alisema  Kamanda Kiondo.

...Tunguli zikiteketezwa kwa moto.

Waliokamatwa katika zoezi hilo ni Juma Mohamed (32) na Abdallah Musa (25) ambao wote kwa pamoja wanashikiliwa na jeshi hilo.
Staa wa muziki wa kizazi Kipya Bongo,Nasib Abdul 'Diamond', usiku wa kuamkia leo aliwasili nchini akitokea Marekani ambako alienda kwa ajili ya kushiriki kwenye tuzo za BET ,zilizomalizika hivi karibuni, alitua kwenye Uwanja wa ndege wa Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam na kupokelewa na umati wa mashabiki kibao majira ya saa 5 usiku.

Diamond akiwanyooshea mikono baadhi ya watu waliyojitokeza kumpokea mara baada ya kutua kwenye Uwanja wa Julius Nyerere,usiku wa kuamkia leo.

Wema Sepetu wa pili kutoka kushoto,akifurahia jambo na mashoga zake kwenye Uwanja wa Julius Nyerere wakati alipoenda kumpokea mpenzi wake huyo.

Baadhi ya mashabiki wa Diamond wakiwa wamenyanyua mabango tayari kwa kumpokea msanii huyo.

Watu mbalimbali wakichukua baadhi ya matukio ya kuwasili kwa Diamond kwa kupiga picha.

Diamond (kulia), akisalimiana na mama yake mzazi Bi,Sanura, mara baada ya kutua nchini.

Wema Sepetu, akiwa amekumbatiana na Diamond mara baada ya kufika nyumbani kwao na msanii huyo.

Diamond,Wema wakicheza wimbo wa mdogomdogo,muda mfupi baada ya kutelemka kwenye gari wakitokea uwanja wa ndege.

Diamond akiwa katika pozi na jamaa zake baaada ya kuwasili nyumbani kwao Sinza Mori jijini Dar es Salaam,usiku wa kuamkia leo.

Muziki ulizidi kukolea kwa mashabiki, Wema na Diamond.

Baadhi ya mashabiki wa Diamond wakicheza staili ya Kiduku kwenye Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere, Dar ,wakati wa kumpokea Diamond.

(Habari/Picha: Musa Mateja/GPL)
Screen Shot 2014-07-11 at 9.42.15 AM
Baada ya kuripotiwa kuwepo kwa mabadiliko ya noti ya sh. 500 ambayo itaacha kutumika siku chache zijazo nchini Tanzania na mbadala wake kuwa sarafu ya shilingi 500, Watanzania mbalimbali wamekuwa na wasiwasi na taarifa hiyo pamoja pia na kuamini uchumi wa nchi unaanguka.

Mchumi wa benki kuu kwenye kurugenzi ya utafiti na sera za uchumi Lusajo Mwankemwa ambae amejibu hizo headlines kwa kusema hiki kifuatacho.
‘Kwa niaba ya benki kuu ya Tanzania amewatoa hofu kuhusu haya mabadiliko na kusema haijaja kutokana na ukuaji na ushukaji wa uchumi wa nchi ya Tanzania, yaani kuanza kutumika kwa hii sarafu hakuhusiani na Tanzania kushuka kiuchumi’
Screen Shot 2014-07-11 at 9.44.35 AM
‘Noti ya 500 imeonekana inachakaa sana ndani ya miezi 6 kutokana na kuwa na mzunguko mkubwa ikilinganishwa na noti nyingine na haipitii ule mfumo wa kawaida wa kibenki kurudi benki kuu kwa ajili ya kuibadilisha, tulitarajia Mwananchi anapokwenda bank kupeleka pesa zake basi na 500 iwe miongioni mwa hizo pesa ili tuzibadilishe kwa kutoa noti mpya ambazo tunazo benki kuu lakini haijawa hivyo’

‘Tumegundua Mwananchi anaitumia ile mia tano huku chini ambapo pesa anazopeleka benki ni shilingi elfu mbili, elfu 5 na elfu 10 lakini 500 anabakiza kwenye droo kwa ajili ya matumizi madogomadogo, matokeo yake inatumika huku chini kwenye mikono ya watu na haipati kurudi kwenye mfumo wa kibenki kubadilishwa ndio maana tumeona ni busara kuiondoa na kuleta sarafu’
‘Kiuchumi hili halina muingiliano wa moja kwa moja, itambulike kwamba kinachofanywa ni kuondoa noti ya 500 yenye thamani ya 500 na kuleta sarafu yenye thamani ileile ya shilingi 500, kwahiyo thamani iko palepale’

Wednesday, July 2, 2014


denti mmoja wa chuo kimoja ambacho tusingependa kukitaja jina kwa kuhofia maadili, amejikuta akipata aibu ya mwaka baada ya picha zake za faragha kusambaa kwa kasi ya ajabu mtandaoni , denti huyo anayesoma masomo ya biashara inadaiwa alikusanya kazi ambayo waliachiwa na mwalimu wao sasa kwa bahati mbaya alisahau kuzifuta kwenye frash na ndipo zikasambaa,
hapo
haijajulikana bado zimevujishwa na nani kati ya mwalimu au huyu jamaa tunayekusanya kazi kwake hili ampelekee mwalimu alizungumza rafiki wa karibu wa denti huyo,akome kwani amezoea amewahi kupiga zingine bhana unabisha?
hivi sasa rafiki yangu. hasomi amechanganyikiwa anahofia siku baba yake atakapoziona picha hizo kwani anasema ni mkali mpaka anamuogopa, jamani ushauri tu mabintimsijiachie sana na camera zitawaponza kama huyu dada, ni hayo 

BOFYA PICHA YA UCHI HAPA

Wednesday, March 19, 2014

Hakika pengine ukiangalia picha hizi unaweza dhani kuwa ni picha za kutengeza lakini ni hali ya kweli hawa wameungana lakini wanafanya kazi nyingine kama kawaida ikiwa pamoja na kufanya shughuli za kimuziki wana uwezo wa kupiga kinanda tunafanya jitihada ya kutafta video lakini kwa sasa angalia picha zaidi kumbuka licha ya kuwa na ulemavu huo lakini vijana hawa wanapiga kazi kama nini

Tuesday, March 18, 2014

MTOTO Adolotea Njavike(1.4) anaomba msaada wa matibabu kutoka kwa wasamaria wema ili aweze kufanyiwa upasuaji kutokana na Kichwa na Kiwiliwili kuungana baada ya kupata na ajali ya Moto akiwa na mama yake Mzazi.
MTOTO Adolotea Njavike(1.4) ambae Kichwa na Kiwiliwili vimeungana baada ya kupata na ajali ya Moto akiwa na mama yake Mzazi.




Joseph Mwaisango wa Mbeya yetu akiwa amempakata mtoto huyo

Baadhi ya waandishi wa habari wakiongea na mama mkubwa wa mtoto huyo


MTOTO Adolotea Njavike(1.4) anaomba msaada wa matibabu kutoka kwa wasamaria wema ili aweze kufanyiwa upasuaji kutokana na Kichwa na Kiwiliwili kuungana baada ya kupata na ajali ya Moto akiwa na mama yake Mzazi.
 
Akizungumza kwa masikitiko Mama Mkubwa wa Mtoto huyo, Salome Kiegu(35) mkazi wa Mtaa wa Maendeleo Iyunga Jijini Mbeya anasema Mtoto huyo akiwa na mama yake walipata janga la moto katika mazingira ya kutatanisha waliangukia kwenye moto ambapo Mtoto huyo aliungua vibaya.
 
Anasema tukio hilo lilitokea Mwaka jana Mwezi wa Nane lakini alipopatiwa matibabu katika kituo cha afya mtoto huyo aliungana ngozi ya kidevu na kifua hali inayomletea shida ya kula na kufurahi na wenzake.
 
Anasema tangu kipindi hicho alimchukua mtoto huyo kwa mama yake na kuanza kuomba msaada wa matibabu baada ya kumpeleka katika Hospitali ya Ikonda iliyoko Makete Mkoani Njombe ambapo Wataalamu walimwambia atafute Shilingi Milioni Moja ili mtoto wake aweze kutibiwa.
 
Ameongeza kuwa baada ya muda wataalamu hao walimwambia asubiri Wazungu kutoka Ulaya ambao wataweza kumtibia mwanaye ambapo baada ya kusubiri kwa muda kidogo Wazungu hao walifika na kumcheki Mwanaye kisha kumwambia wao hawana utaalamu isipokuwa aende CCBRT Dar Es Salaam ambako ataweza kutatuliwa tatizo lake.
 
Aidha kutokana na kuambiwa hivyo Mama huyo anaomba msaada kutoka kwa wasamaria wema ili aweze kumpeleka Mtoto wake kwa matibabu kutokana na kutokuwa na uwezo wa kuweza kusafiri hadi DSM pamoja na gharama za matibabu kuwa kubwa.
 
Amesema anahitaji zaidi ya shilingi Milioni 2 ili ziweze kumsaidia kusafiri kugharamia matibabu pamoja na huduma za Kawaida kipindi atakachokuwepo Jijini Dar Es Salaam wakati akisubiri matibabu ya Mwanaye.
 
Mtu yeyote mwenye kuguswa na tatizo hilo anaweza kuwasiliana moja kwa moja na Mama huyo kupitia simu yake ya Mkononi namba 0752 986879 au Nyumbani kwake Iyunga Mtaa wa Maendeleo Jijini Mbeya.

Saturday, March 15, 2014

Click here

Click here

Popular Posts