Sunday, May 4, 2014

Red Carpet, Casto Dickson akiongea na Victoria Kimani
 Binamu Mwana Fa akitoa burudani ya Kipekee huku akiwa amegusa hisia za mashabiki wake pale alipoingia na Wamasai kwenye Jukwaa.

 Mpoki na Shadee ndio wali Host mwanzo mwisho


 JB akimkabidhi Young Killer Tuzo ya Msanii Bora Chipukizi



 Chibwa akiwa amepata Tuzo ya Wimbo bora wa Ragga / DanceHall

 Dabo na Tuzo ya Wimbo bora wa Reggae

 Ommy Dimpoz akiburudisha na Vanessa Mdee (V.Money)


 Wakimuwakilisha Mzee Yusuph kupokea Tuzo yake

 Msaga Sumu akimkabidhi Isha Mashauzi Tuzo

 Burudani ikaendelea


 Wyre na Amani kutoka Kenya wakimkabidhi Luiza Mbutu Tuzo ya Msanii Bora wa Kike Bendi



 Weusi wakitoa burudani

 Madee akitoa burudani


 Choka akipokea Tuzo ya Lady Jay Dee

 Wema akimkabidhi Tuzo Diamond






























0 comments:

Post a Comment

Click here

Click here

Popular Posts